This is why he will be silenced soon! Mohammed Ali reveals the REAL reason why KDF went in Somalia to fight Al Shabaab contrary to popular belief terrorists were attacking Kenya

The KTN investigative journalist has asked President Uhuru Kenyatta to withdraw KDF from Somalia as he revealed they were dying for a cause that has nothing to do with the interests of Kenya.

Mohammed Ali wrote a letter to President Uhuru asking him to withdraw Kenyan soldiers from Somalia; he asked the commander in chief to take his children and those of his cabinet and top military commanders to the war ravaged country if indeed he had the interests of Kenyans at heart.

The KTN journalist revealed KDF only went to Somalia to fight Al Shabaab because of a British widow, Judith Tebbutt, who was kidnapped in Lamu in 2011. Most Kenyans still believe KDF invasion of Somalia was because of a series of attacks the terror group carried out within Kenyan soil.

Judith Tebbutt and David Tebbutt
Judith Tebbutt with her husband, David Tebbutt who was shot dead before she was kidnapped in Lamu in 2011

“Naomba uwaregeshe wanajeshi wetu nyumbani. Ombi langu linatokana na sababu tasa za Kenya kuwatuma nchini Somalia. Kwanza hatuna sababu za kupigana nao kwa sababu hamna chochote tunachopigania wala kupata huko Somalia. Amerika inapovamia taifa lingine hufanya hivyo kwa misingi ya maslahi na wala sio demokrasia. Aidha inashambulia taifa lingine kwa sababu ya mafuta, eneo la kuweka wanajeshi wake kwa mafunzo na kambi au njia ya kuuza silaha zao. Kama kuna wanafiki wakubwa dunia hii ni wamarekani na wachumba zao Israel na Uingereza. Ni kwa nini vijana wetu wauawe kinyama kila kukicha kwa ajili ya makosa ya marekani? Kuingia kwa wanajeshi wa Kenya Somalia kulitokana na kutekwa nyara kwa ajuza mmoja mtalii huko Lamu na Alshabab. Jeshi liliamua kuingia Somalia kwa sababu za ajuza huyo na wala sio wakenya wanaouawa na kutekwa nyara kila mara na Alshabab. Tamaa ya pesa pia imechangia pakubwa. Yaani wanasiasa na baadhi ya wakuu wa jeshi waliokuwa hapo awali waliona ni vyema kula pesa za wanajeshi hao huku wao wakihangaika kutulinda sisi. Hakika jeshi limegeuzwa na kuwa kama polisi. Hii sio jeshi ya Daniel Toroitich Arap Moi tuliyokuwa tukiiheshimu na kuienzi. Wakuu wa jeshi wamekuwa wakabila wakubwa wanaojiingiza kwa mambo ya kisiasa. Uhuru Kenyatta warudishe ndugu na dada zetu nyumbani maana tumechoka kulia. Kama amerika ina shida, waende wao wakapigane nao. El Adde mlitudang’anya eti mliwashambulia kabla ya Alshabab kutoa kanda ya video na kutuonyesha jinsi ambavyo waliwaangamiza watoto wetu. Hii ya ijumaa iliyopita mmetudang’anya lakini kwa vile jeshi pia limeanza tabia za polisi wakenya watasubiri kuona kanda ya Alshabab maana hawaamini serikali yao. Mwisho kabisa kama unaona ni uzalendo kwa wao kubakia naomba uwatume vijana wako, kila waziri ndani ya serikali yako atume vijane wake, mkuu wa jeshi atume kijana wake na hao wanasiasa wanaopayuka kila kukicha ndani ya bunge, seneti na kupasisha mijadala za kitoto pia watume watoto zao. Mkifanya hivyo nitajua ni ukenya na uzalendo nami pia nitajitolea kuungana nao kulinda taifa langu Kenya,” Mohammed Ali wrote in part.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere