¨Papa Dennis just wanted to open up, but did not know how..¨ Otile Brown speaks

Sensational RnB singer, Otile Brown has revealed that most artistes may face mental illness at one point in their lives but opening up, is tough.

Live on radio, making reference to the late Papa Dennis, Otile admitted that speaking out, with your kind of popularity is a hard puzzle to crack.

Unaona kama issue iliyotokea juzi na rest in peace Papa Dennis. Unakuta kwamba unaweza kuwa wewe ni msanii lakini kuna vitu ambavyo vinaendelea katika maisha yako, si kifedha ama vitu kama hivyo.

The late Papa Dennis

First, being a celebrity, you don´t know who to fully trust. Second, the kind of backlash the public will give you after opening up, can drain your energy completely.

Ila huwezi ongea maana wewe ni msanii alafu kuna vile watu huwa wameshakuchukulia na shemu ambayo watu wamekuweka tayari. Na unahisi kwamba huwezi ukamfuata mtu ukamuelezea shida zako.

However, it is speaking up and sharing your agonies that actually heals an individual but trust is an issue.

Saa zingine unataka tu mtu akushauri. Maana kule kuongea kunatuliza roho coz the moment unazitoa moyoni unabaki na amani. Lakini unashindwa mtu ambaye unaeza share naye hivyo vitu maana hujui umuamini nani. Some people may come and listen to you but all they want is to spread information about you.

Opening up as a celebrity is tough – Otile Brown

He cited his own case, having faced depression but is positively responding to the same.

So kwa muda mrefu mwenzenu nimegundua kwamba niko depressed for instance, like Papa Dennis’ case, when you talk, one finds peace but as an artiste. But you don’t know who to trust because you are not sure who is your friend.

About this writer:

Gloria Katunge