“Natongozwa sana na wanaume DM” Rayvanny’s wife reveals

Rayvanny’s wife Fahyma is undeniably one beautiful woman and of course many men wish they could have her; but the lady seems contented with her man.

Fahyma

As people continue to think that Fahyma is after the young singer’s money; turns out that the lady actually has a lot of suitors in her DM but according to her, she wants nothing to do with other men.

Natongozwa sana na wanaume DM, wengi wananitaka kimapenzi lakini siwezi kuwa nao kwa sababu mimi tayari ni mke wa mtu na nampenda sana mume wangu (Rayvanny).

Tena sijawahi kufikiria kabisa kumsaliti kwa sababu ananionyesha upendo wa kweli na kunijali pia.

Jealous foes

Speaking during a recent interview, Fahyma also told off those hating her relationship with with Rayvanny. She opened up saying;

Unajua watu wengi hawapendi mapenzi yangu mimi na Rayvanny, yaani wanatamani hata kesho tuachane, lakini hicho kitu hakiwezekani kwa sababu mambo ninayompa tukiwa wawili sio rahisi kunisahau, kwa hiyo wanapoteza tu muda. Bora waendelee kufanya vitu vyao vya maana kuliko kufuatilia maisha yetu

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua