“Nipo kwenye tabu kubwa sana na mume wangu” Married TV presenter said to be cheating with Diamond cries out

Channel 10 TV presenter  Zein Aklan has been rumored to be fooling around with Diamond Platnumz. The married TV presenter has since come out to address the rumor.

The alleged cheating scandal involving Diamond Platnumz and Zein Aklan has made headline on Amani newspaper and on several Tanzanian blogs.

Amani newspaper claims that Zein Aklan started fooling around with Diamond when the singer contracted her as a make-up artist for Wasafi records.

Husband believes the rumor

Zein denied fooling around with Diamond when Amani newspaper contacted her for comment about the alleged cheating scandal. The presenter said the rumor was threatening her marriage.

“Yaani hapa nilipo nipo kwenye tabu kubwa sana na mume wangu kwa sababu haelewi ni kitu gani hiki na isitoshe hajawahi kuona mambo kama haya kwenye mtandao tangu tumeishi hivyo habari hizo zimeleta mtafaruku mkubwa sana. Ndugu wa mume wangu nao hawanielewi na mimi sijaachana na mume wangu kama watu wanavyosema mitandaoni, naumia jamani maana habari hizo hazina ukweli na zimeniweka kwenye wakati mgumu sana,” said Zein.

Please stop

Zein pleads with those spreading rumors about Diamond and her to stop, she says her marriage could end because of something that is not true.

“Unajua hata mwanzo mume wangu alivyoona alielewa na akaachana nayo akajua wazi kuwa labda watu walikosea lakini bado waliendelea kukomalia kuwa mimi na Diamond ni wapenzi. Nawaomba wanaosambaza skendo hiyo waache jamani maana ndoa yangu inaweza kuvunjika wakati wowote kwa sababu ya kitu ambacho hakina ukweli wowote, sina hata mazoea ya kivile na Diamond,” Zein pleaded.

 

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere