Wema Sepetu slapped ex-boyfriend for being close with another woman 

Actress Wema Sepetu once shocked her ex-boyfriend singer Charles Gabriel “Chaz Baba” after she slapped him for being close with another woman.

The singer recently opened up to Global Publishers saying that Wema approached her demanding to know why his baby mama,  actress Husna Hudd was posting him on social media and why they are still close.

“Tulikuwa vizuri tu maana jioni tulikuwa naye pamoja kwenye kikao cha kamati ya Miaka Ishirini ya Twanga maana na yeye ni mjumbe, tunategemea kusherekea naye siku hiyo kwa sababu itakuwa ni siku yake ya kuzaliwa pia usiku huo.” he said. 

“Hakukuwa na shida yoyote. Sasa nimeshuka jukwaani naenda maliwatoni mara nikakutana naye akaanza kuniuliza kwa nini Sajenti ananiposti kwenye mitandao ya kijamii na kwa nini tupo karibu. Mimi nilimjibu kuna shida gani kwa sababu nina uhuru wa kuwa karibu na mtu yeyote yule na yeye hawezi kunipangia masharti kwa sababu si mpenzi wangu.”

Charles Gabriel “Chaz Baba”

Took it

He went on to say that he took the slap because it was a woman but if a man slapped him like that, things would have been different.

“Nilipomjibu tu hivyo nilishitukia nazabwa makofi kadhaa usoni. Kalala alikuwa karibu ikabidi amtoe. Kiukweli ni kwa sababu ni mwanamke lakini angekuwa mwanaume mwenzangu pangechimbika,” said Chaz Baba.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua