Magari Ya Kifahari Yanayoendeshwa Na Mastaa Tanzania

Hii ni moja ya rekodi iliyotolewa kwa mwaka 2016-2017 kutoka Tanzania.Haya ni baadhi ya magari ya kifahari  yanayomilikiwa au yaliyowahi kumilikiwa na baadhi ya mastaa wa bongo.

1.Masoud Kipanya (Hummer H3)

download latest music    

Amepitia vitu vingi katika jamii, amekuwa akisaidia vijana kwa namna tofauti tofauti kadri vile anavyoweza.ukiachana na utangazaji kama kazi yake , Masoud ni mchoraji wa katuni maarufu Tanzania.

Ndiye mwanzilishi na muhasisi wa mashindano ya Maisha Plus Tanzania.

2.Masanja Mkandamizaji(BMW x6 na Toyota landcruiser)

Ni mchekeshaji maarufu, lakini pia ni mjasiriamali alijikita katika sekta ya kilimo. pia ni mtumishi wa Mungu

 3.Wema Sepetu(Range Rover e Vogue)

Mwanadada anependwa Tanzania, aliwahi kuwa miss tanzania laini kwa sasa ni muingizaji maarufu.Aliamua kijizawadia gari hili siku yake ya kumbukumbu ya kuazaliwa.

4.Quick Rocka(Range Rover Spot)

Amekuwa na mambo ya kimyakimya na hapendi kujionyesha sana, yuko vizuri katika muziki.

5.Gadner G Habash(Discovery 3)

Ni mtangazaji maarufu wa radio Tanzania, alishawahi kuwa mum wa mwanamuzii mkongwe Lady Jay Dee.

6.Alikiba BMW X5)

Anafanya vizuri kwenye game,ingawa ni msanii asiyependa sana kuonyesha nini anamiliki.

7.Diamond Platinumz(BMW X6)

Msanii wa bongo fleva anaefanya vizuri tanzania , pia ni mmoja kati wa wasnii matajiri Tanzania.

 

 

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.