Boyfriend Wangu Alinikazata Kuongelea Maswala ya Billnass;-Nandy

mwana dada Nandy amefunguka nakusema kwa sasa hawezi kuongelea maswala ya mahusiano yake na Billnass kwa sababu yalishapita na pia mwanaume aliyenae kwa sasa katika mahusiano alishamkataza kuongelea maswala hayo.

Nandy anasema kuwa hata alipokuwa nchini Kenya alikuwa akiulizwa na kusumbuliwa sana ktika maswali aliyokuwa akiulizwa hilo lilikuwa likijirdia sana lakini alikuwa akijitaihi kuyakwepa.

Ni kawaida nimefanya interview na maswali kama hayo yalikuwepo sana , hakikuwa kitu kisodo na kilinisumbua sana lakini nilikuwa najitahidi  na yalipita.unavyoniuliza maswali sijui ya billnass mimi siwezi kuyaongelea boyfriend wangu alishanikataza kabisa kuongelea hayo mambo.

Utakumbuka kuwa siku za hapo nyuma Nandy na Billnass walipata skendo ya uvujisha video iliyokuwa ikiwaonyesha wako faragha na kufanya kuwe na maswali mengi kuwa kumbe wawili hao  ni wapenzi lakini wao walisema kuwa walikuwa wapenzi zamanai na sasa kila mtu ana mahusiano yake.

 

Alice wa Billnass Amtolea Povu Nandy

Mwanadada anaesadidkika kuwa ni mpenzi wa sasa wa msanii Bilnass anaejulikana kama Alice,  amemtolea maneno mazito mwanadada nandy wa kivuruge baada ya kuvuja kwa video ikimuonyesha nandy na Billnass.

Mwanadada ahuyo ambae amemtuhumu Nandy kuwa alifanya makusudi kuvujisha picha hizo na kwamba yeye ndie aliemuomba mpenzi wake amtumie picha na leo hii anakana kuwa hajui chochote kuhusu picha na video hizo.

katika ukurasa wake wa instagram, mwanadada huyo aliandika :”ujue wakati mwingine nandy ujitahidi kujiheshimu., ulimpigia simau william na kumuomba akutumie pics zenu wakati mnadating, bila hiyana mume wangu alikutumia..lakini ww u;ivyopost zile picha  hukuridhika ukaamua bora uachie na  video  chafu kama ile, alafu unakataa na kumlaumu mume wangu  wakati iliyotumika ni simu yako.upande wako kama unaina umewini basi umetuharibia mimi na mume wangu na hata watoto wetu huko mbele, siujui watamjengea picha gani baba yao huko mbele.huwezi kufanya muziki bila kiki?naomba ukome tena ukome hasa, naomba utuache na mahusiano yetu kamayalikuwepo basi muda wako ulishapita.

Maneno ya mwanadada huyo yanakuja baada ya kuvuja na kusambaa kwa picha na video zikiwaonyesha Nandy na Billnass wakiwa faragha.Video huzo zilifanya kudhiirka kuwa wawili hao kweli walikuwa wapenzi ambapo kabla ya hapo walikuwa wakikana.

Video ya Kimahaba Kati ya Nandy na Billnass Yavuja.

Katika mtandao wa instagram kumechafuka baada ya video inayomuonyesha Nandy akiwa na Bilnass kuvuja huku bado akiwa natafutwa mchawi nani alivujisha picha hiyo.hata hivyo video hiyo imekuwa ni moja ya uthibitisho tosha kuwa wawili hao walikua au wapo katika mahusiano ya kimapenzi ingawa kila mmoja aliuwa akikanusha kuhusu  wao kuwa wapenzi.

Video hiyo ni moja ya mfululizo wa matukio ya tangu siku ya birthday ya msanii Billnass ambapo mwana dada nandy aliweka picha akiwa na billnass na kumtakia Happy Birthday huku picha hiyo ikiwa inaonyesha kuwa wawili hao wako katika mahaba mazito.

Sasa imekuwa sio siri tena kwamba inawezekana kuwa mpaka sasa wawili hao wapo katika mapenzi mazito ingawa mara kwa mara hasa billnass amekuwa akikataa kuhusishwa kimapenzi  na Nandy huku akidai kuwa tuhuma hizo zimekuwa zikiharibu uhusiano aliona sasa na mpenzi wake

https://www.instagram.com/p/BheiVuygUiL/?taken-by=soudybrown