Wolper amepata mchumba mwingine baada ya Harmonize?

Muigizaji wa filamu Wolper Stylish anaonekana kuwa amepata mchumba mpya baada kuachana na Harmonize ambaye anatarajia mtoto wake wa kwanza na mrembo wake mpya wa kizungu.

Wolper Stylish
Wolper Stylish

Kuachana kwa wawili hawa kuliwashtua mashabiki wao ambao walikuwa wakitarajia harusi kulingana na walivyokuwa wakipendana. Hata hivyo Harmonize alidhibitisha kuwa uhusiano wao ulikuwa umeisha na sasa alikuwa na mchumba mpya.

Hata hivyo Wolper alikaa kimya hadi Jana alipoandika ujumbe ambao umewaacha wengi wakisema kuwa kunauwezekano kuwa amepata mwanaume ambaye ameituliza roho yake sasa.

Baada ya kuambiwa mwili wake haufai kuvaa ‘bikini’ Wolper aachia picha ya kuwazingua mashabiki

Hakuna mtu mrembo kama mwanamke ambaye anajiamini. Hii ndio sababu malkia wa filamu za bongo Wolper stylish amekataa kuyaskiza maneno ya mashabiki ambao wanaopenda kumponda kuhusu mwili wake mnene.

Baada ya kutokea kwenye video ya mpenzi wake Harmonize kama amevalia nguo za kuogelea…mwanamke huyu alipondwa kwa maneno ya mashabiki ambao walidai kuwa kuna nguo ambazo mrembo hafai kuvalia kutokana na umbo la mwili wake.

Hata hivyo Wolper inaonekana kuwa hakuwasikiza na ndio maana ameachia picha mbayo imeewaacha wengi wakimsifu na kumtamani mitandaoni. Wolper anaonekana kama amevalia bikini ya kisasa ambayo amependeza sana.

Ikiwa haujaiona picha hiyo basi itazame hapa.

Wolper Stylish
Wolper Stylish