Nandy And Billnass Welcome Their First Born Child

Tanzanian rapper Billnass and his gorgeous fiancée Nandy have finally welcomed their bundle of joy after a long wait. Writing on her social media, Nandy expressed how exuberant she is upon becoming a first time mum. She shared a short snippet of the hospital where she delivered alongside Billnass.

Her caption read;

”Kwanza kabisa nimshukuru MUNGU kwa ukuu wake hakika amezaliwa BINTI WA KICHAGA.. nikisema niongee yote sitomaliza leo ila nachoweza kusema NAKUPENDA SANA MAMA maana nimeona umuhimu na ugumu wa kukamilisha kuitwa MAMA, nyie na furaha sijawahi kupata maishani mwangu nilijua nimefurahi na mengi lakini kumbe bado,,,!!! hii ni furaha ya kweli toka moyoni❤️.. MUME WANGU @billnass asante kwa zawadi hii asante kwa kunipa BEST FRIEND.

Bila kuwasahau @assemble_insurance MIMI NA BALOZI WENU MPYA WOTE TUKO SALAMA na ma doctor woote wa @agakhanhospitaldsm asanteni sana kwa ushirikiano wenu na upendo wenu kwangu.

NEW MOM IN TOWN????‍????‍????..”

On the flipside, Billnass wrote a detailed message of gratitude gushing over his fiancee for making him a father.

Ahsante Mungu Kwa zawadi na Baraka…kila iitwapo leo!! Kwangu Mimi 2022 ni Mwaka wa kipekee sana…nina kila sababu ya kushukuru na Kutoa Sadaka…Mungu Wetu ni Mwema Sana ???????????????????????? !! Pili Kipekee Niseme Ahsante Mke wangu Kipenzi @officialnandy Kwa Kuniletea Mrembo na Rafiki, Haikuwa Kazi Rahisi umenionesha wewe ni Shujaa kiasi gani kwanzia Mtoto akiwa tumboni mpaka Muda unajifungua umepigana sana… nimejionea namna gani mtu anaweza ku risk kupoteza uhai wake wakati wa kujifungua…Hii imefanya nizidi kukupenda, Kukuheshimu na kukupa Nafasi ya Pekee katika Maisha Yangu….Hayo Yote Hayatoshi Lakini Kila Siku Nakuombea Kwa Mungu akulinde Mke Wangu na Nitakupa Furaha Na Kufanya Maisha Yako Yawe ya Amani kwani Unastahili Mengi Mazuri sina zawadi kubwa itakayoweza lingana na Upendo wangu kwako zaidi ya kuzidisha upendo kila iitwapo leo ❤️❤️❤️ Nikuhakikishe uko Mikono Salama ???????????????????????? !!! Tatu kwa Mwanangu kipenzi Najuwa ipo siku utakuja kuisoma Hii…Niseme tu Nakupenda Sana sana na Umekuja na Baraka Nyingi ambazo siwezi hata kuzielezea…Mwenyezi Mungu akutunze kwa Mapenzi yake na Ukawe mtu mwema katika ulimwengu wa kawaida na wa kiroho… Na Pia nikupongeze umekuwa Balozi wa @assemble_insurance”

Despite welcoming their baby daughter, the couple had already shared that they would never expose her to social media until she becomes old enough to decide for herself.

About this writer:

Dennis Elnino

Content Developer Email: [email protected]