Harmonize claims Frida Kajala’s daughter wanted a taste of his honey

The Tanzanian actor Harmonize now claims that Paula, the daughter of Fridah Kajala, approached him first.

Regarding the relationship with Paula, Harmonize claimed he withheld information in order to protect Kajala, but that when she continued to treat him disrespectfully, he was left with no choice but to come clean.

“Kwa kipindi kirefu sanaa!!! Nimezipokea lawama zakuonekana ni mtu asie na hekima mwenye tamaa alie mtongoza mtoto wa dem wake. Nilikubali lawama zote zije kwangu sikuelezea chochote almost miake 4 kwakilinda heshima ya mtu niliewahi kuwa nae lakini pia kwa kutambua yeye ni mzazi pengine itamuumiza zaidi. Akijua ukweli wa mambo!!!

“Ila kwa kuwa ameona kunidhalilisha na kunifanya nionekane sio mwema hakutoshi kafikia kuniita chizi. Sasa wacha nielezee uchizi wangu!! Kaa na bint akuelezee vizuri kwa nini ananichukia kama anavyosema (I hate him !!!)”

Paula was the one who seduced Harmonize back in 2017, when she was still a student and he wasn’t dating her mother at the time. This was confirmed by Harmonize.

Paula contacted him, according to the ‘Single’ hitmaker, via her stepbrother who acted as the matchmaker.

When Paula returned from college two years later, Harmonize remarked that she was disappointed to see him dating her mother.

“Kiukweli kabisa hanichukii. 2017 alinitafuta kupitia ndogo wake wa kiume Pol wa baba mmoja aliniambia my sister she wanna talk to you!!! This is her Instagram nikusaidie tuu bint yupo Instagram tangu 2017 mimi na machizi wenzangu tunajua We unajua kaanza mwaka juzi.

“Niliongea nae na akinipa number yake and usimwambie mama nyingi mnoo sikumzingatia pia alikuwa mtoto sanaa na ukizingatia alikuwa bado shule baada ya miaka miwili anarudi shule anakuta penzi limekolea tui nakujali nakuhudumia kila unachotaka nakupatia na hata yeye pia nampa atakacho kama bint yangu,”