Download More Music

Tanzanian government warns citizens against mocking Diamond’s ex-lover 

August 01, 2018 at 07:48
Tanzanian government warns citizens against mocking Diamond's ex-lover 

Days after Tanzania president John Pomber Magufuli appointed Diamond Platinuz’s ex-lover Jokate Mwogelo as the new Kisarawe Provincial Commissioner, the online space has been buzzing with congratulatory messages and, trolls.

Some Kenyans and Tanzanians decided to mock Mwogelo after the appointment with many using her relationship as reference that she doesn’t deserve the post.

Tough

Tanzanian government, however, isn’t having that anymore and has now threatened to arrest any citizen mocking the new commissioner. Jokate’s appointment came as Magufuli’s government reshuffled some of its District and Provincial leaders.

Jokate also dated singer Ali Kiba. After the appointment, she confessed her journey hasn’t been easy in an Instagram post.

Amini Mungu ni mwingi wa rehema kamwe hamtupi amtumainiye yeye!! Ahsante Mungu Wangu. . . Labda ni-share kitu kidogo, kuna muda mwaka jana mwishoni nilikuwa so down nilitamani kukata tamaa na kila kitu kwenye maisha nilikuwa pia sijaelewa vizuri hatma yangu kwenye siasa. Nilikuwa kwenye mkutano mkuu wa chama kuna mdada mmoja kutoka Arusha akanikimbilia na kunikumbatia kwa nguvu sana alikuwa na mama mmoja hivi walikuwa wamekuja kupiga picha namimi. Huyo dada mdogo hivi akasema ananipenda sana sana na mimi ndio nilimfanya aingie kwenye siasa na akagombea nafasi kupitia mkoa wa Arusha akashinda!! Nikabaki natabasamu. Ikanipa nguvu kubwa ya kupiga moyo konde na kusonga mbele. Nilifurahi kuona kuna mdada nimeweza kumhamasisha na kumpa ujasiri wa kugombea. Unaweza ukawa unapitia mitihani migumu sana kwenye maisha yako lakini inakubidi usikate tamaa saa zingine kwasababu tu ya wale wanaokutegemea, wanaokuangalia na kuvutiwa nawe na kujifunza kupitia maisha yako. Lakini zaidi kwasababu safari ya mafanikio ina milima na mabonde, inabidi upambane na kiukweli hakuna mafanikio yasiokuwa na changamoto. Na kuna muda changamoto ndio haswa zinatengeneza “character” zetu. . . Kikubwa zaidi wakati wa changamoto tukumbuke kuwa wanyenyekevu, wenye kujishusha na kumuomba Mungu aendelee kutupa imani, hekima na busara ya kusubiri wakati wake. Tukumbuke Mungu hamtupi mja wake. Nawatakia Jumapili Njema. Nawapenda Sana. Ahsanteni ??

A post shared by Jokate Mwegelo (@jokatemwegelo) on

Share

in News