Wanaonitukana Wananipa Moyo wa Kufanya Vizuri Misibani :-Steve Nyerere

Msanii wa bongo movies Steve Nyerere amefumguka na kusema kuwa katika familia yoyote hamuwezi kuzaliwa mkafanana akili hata siku moja na yeye ni kati ya watoto waliozaliwa na kujua majukumu ya familia ukiachana na wale ambao watakuwa kazi yao ni kuwaumiza wazazi tu.

Steve anasema kuwa pamoja na kwamba amkuwa akitukanwa sana kuhusu swala la kujihusisha kwenye misiba na kwamba amekuwa akinufaika lakini kamwe hatoacha kujitolea kwa sababu moyo wake haumtumii kuacha kuwafanyia wengine mema.

download latest music    

hamuwezi kuzaliwa watoto saba alafu owte mkawa na akili timamu wapo watakaokuwa wanawatukana sana wazazi wenu, na wengine watatokea na kujua majukumu ya familia yao kwaio mimi ni moja kati ya wale watoto watoto saba wanaojua majukumu yao kwa familia ya watanzania.

na katika kitu pekee nashukuru ni kuwa wanaponitukana ndio wanazidi kuniongezea nguvu na moyo wa kufanya vizuri katika misiba.

Steve nyerere ambae mara ya kwanza aliona kama ni bora kuachana na kujitolea kwake lakini baadae alikuja kugundua kuwa endapo yeye atajitoa na kukaa pembni inapotokea matatizo ya misiba ya wasanii wenzao kuna kuna na mapungufu mengi sana.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.