Jacqueline Wolper amsifu sana Saida Karoli baada ya kufanya hili

Wolper amemiminia sifa kwa mkongwe wa muziki ya asili – Saida Karoli. Muigizaji huyo wa Bongo Movies amesema Saida anahitaji heshima kubwa.

Wolper alisema hayo baada ya mwimbaji huyo mkongwe kuachia wimbo wake mpya ‘Orugambo’ inayomaanisha maneno.

download latest music    

Mrembo huyo wa filamu za Bongo alieleza kuwa Saida anastahili heshima kutokana na namna alivyoutangaza muziki wa asili.

“Saida anastahili heshima kubwa kwa muziki wa asili anaoufanya, kwa kweli namuunga mkono sana,” Wolper alisema akiongea na 3 Tamu.

Tazama wimbo mpya ya Saida Karoli hapo chini:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere