Harmorapa Amezaliwa kwa Sababu ya Kiki:-Mkali Wenu
Msanii Vichekesho nchini mkali wenu amefunguka na kusema kuwa msanii Harmorapa sio mwanamuziki bali yupo kwa ajili ya kiki tu na sio kitu kingine.
Mkali wenu anaongezea na kusema kuwa Harmorapa anakuwa hasikiki kwa sababu hana kitu cha kufanya kwa sasa ambacho kinaweza kumpa kiki na ndio maana sasa hivi haonekani katika mitandao.
Harmorapa hakuwa msanii na kujulikana kwa sababu ya muziki,ila harmorapa amejulikana kwa sababu ya kiki, amezaliwa kwa sababu ya kiki tu.harmorapa sio mwanamuziki mzuri yupo kwa sababu ya kiki na kwa sababu hafanyi kiki basi haonekani.