Post ya Billnass Iliyowaacha Mashabiki Katika Hamasa ya Kujua Zaidi.

Siku ya leo mida ya asubui msanii wa muziki bongo aliweka post moja ya kustua sana katika ukurasa wake wa instagram huku akiwaacha mashabiki na watu wanaomfuata kutaka kujua undani wa post hiyo ambayo haijafafanua nini hasa alikuwa akimaanisha msanii huyo.

Billnass ambae aliweka picha ya tumbo la mwanamke akiwa mjamzito na kuandika caption iliyokuwa ikumuelezea mwanamke amewashyangaza na kuwatia hamsa watu wengi huku wengi wakitaika kujua swala hilo ni kiki, mziki au mwanamke wake anategemea kupata mtoto hivi karibuni.

download latest music    

Billnass aliandika “umenibebea mtoto ingawa sikubebi vyema,..haina maana sikupnedi tena , natamani ulimwengu ujue ninavyokupenda na mwisho wetu hauna mipaka labda NIKUZIKE TU.’

Wengi wa mashabiki zake wanaamini kuwa bilnass anajaribu kuonyesha hisia zake kuwa mwanamke aliyenae ni mjamzito lakini bado swali linakuja kuwa  je mwanamke huyo anaweza kuwa nani, kwa sababu hapa karibuni msanii huyo alikuwa akionekana yupo karibu sana na Lulu Diva ilhali hapo mwanzo alikuwa na mahusiano na Nandy.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.