Nikki wa Pili Amkosoa Mwl Nyerere
Kila mwaka inapofika October 14 ,tanzania inakuwa inaadhimisha kifo cha baba wa taifa mwl julius kambarage Nyerere, kiongozi aliekuwa muhasiis wa Taifa letu na aliyetukomboa kutoka katika mikono ya wakoloni.Mwl alifanya mengi mazuri na makubwa yakutufanya tumkumbuke kila siku lakini imekuwa vizuri zaidi kutenga siku yake maarumu ili kumuenzi .
moja ya wasaii na wanafalsa nchini, nikki wa pili ambae amekuwa moja ya chachu kubwa kwa vijana kutokana na kuongea bayana bila kuogopa kitu pale anapoona jamii inakosea bila kuwa na mfungamanowa upande wowote ameibuka na kunagalia baadhi ya mambo ambayo yeye anaona kuwa yalikuwa ni makosa kwa uongozi wa mwalimu.
Nikki ameandika yafuatayo kama makosa ya baba wa taifa
- mwalimu alirithi serikali ya ukoloni na hakuibadili sana..sifa ya seriali ya kikoloni ni ya serilai ya ukoloni ni ukandamizaji wa wananchi na wananchi hawana sauti…hata sera ya vijiji na ujamaa ilitekelezwa kwa mabavu.
- chama kilichoshika hatamu hakikutenganisha chama na serikali…chama kikawa na nguvu mbele ya serikali
- katiba ya rais ya kifalme na wala isyoshirkisha wananchi wakati wa kuiandika.
- kufungiwa kwa jarida la wanafunzi la cheche..lililokuwa likihoji juu ya utekelezaji wa sera ya ujamaa ilikuwa ni uminyaji wa demekrasia na sauti za wananchi kuhusu maendelea ya jamii zao.
- kudhoofisha ushurika na kuingiza siasa ndani yake.HAPPY NYERERE DAY…NYERERE MY NUMBER ONE.