Nikkki Atoa Ushauri kwa Linex
Msanii wa hip-hop nchini Nikki wa Pili amefunguka na kutoa usahuri kwa wasanii wote ambao wanatamani kufaya kazi kubwa na makampuni makubwa nchini kuwa hata kama wanakuwa wanachaguliwa na makampuni kufanya kazi hizo haimaanishi kuwa wao ni bora zaidi kuliko wengi swala la muhimu ni kuboresha kazi zao hili waweze kufanya izuri.
Huku akimtaja msanii Linex sunday mjeda,, nikki wa pili anasema kuwa kwa sasa watu wengi wa makampuni hawapendi sana kupata hasara kwa kufanya kazi na msanii ambae hajitumi , hivyo wanatakiwa kufanya kazizenye ubora na kupambana kazi kuwa bora kwa sababu hata makampuni pia hayataki hasara.
Nikki amekuwa moja ya wasanii walio wazi sana inapokuja maswala ya kazi, pesa na ushauri kwa wasanii na vijana pia hivyo muda wote amekuwa akisema na makundi hayo ili kuwasaidia katika mafanikio.