Harmonize Kuja na ‘EP’ Aliyowashirikisha Diamond na BurnaBoy

Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayefanya vyema chini ya Label ya WCB Harmonize ameweka wazi ujio wa ‘EP’ yake ambayo itakwenda kwa jina la ‘Afro Bongo’.

EP (Extended Playlist) inategemewa Kubeba jumla ya nyimbo 4 na nyimbo hizo nne zitatolewa kwa Mpigo na itawashurikisha wasanii Kama Diamond Platnumz na BurnBoy wa nchini Nigeria.

download latest music    

https://www.instagram.com/p/BuDqYQ-nYJT/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1b911qv81c77n

Lakini pia Harmonize ameweka wazi kuw wasanii ambao watasikika katika EP hiyo ni pamoja na Mr. Eazi, Yemi Alade na Mpenzi Wake Sarah.

https://www.instagram.com/p/Bt_nrHcnuHw/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=ok4sqy5qjy8y

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.