“Sina Mimba mie” Nisha kaweka mambo wazi

Nisha hana mimba kamwe ndio ujumbe uliotufikia leo na kuweka mambo yote kwa wazi.

Akizungumza kwenye Millard Ayo, Staa huyo wa filamu anayejulikana kama Salma Jabu alieleza ya kwamba yeye hana mimba kamwe na picha aliyoieka kwenye mitandao ilikuwa yeye kwenye harakati za kikazi.

download latest music    

Kama balozi wa watoto wanao ishi katika mazingira ya ufukara, aliamua afanye uchunguzi ndio akuje kutoa filamu mpya na ndipo akabuni huyo character aliyeonekana kana kwamba alikuwa na mimba.

Mtazame kwenye hii video akiongelea jambo hilo kwa unenepa:

 

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi