Afande Sele Atoa Wosia Siku ya Kifo Chake kwa Watoto Wake

Msanii mkongwe kutoka Morogoro Afande Sele ametoa wosia kwa watpto wake kuwa undapo atakufa wasiamamie maiti yake isizikwe bali achomwe moto kwa sababu anataka kubaki majivu.afande sele amewaomba watoto wake ilo ikiwa kama zawadi ya watoto hao kwa baba yao kwa sababu ya malezi anayowapa wakati huu yuko hai.

kila muda ninapopata nafasi ya kuongea na hawa mabnti zangu wawili huwa nataka kuwakumbuka kuwa yote ninayoyatenda chini ya jua ni jukumu langu, na pia ni haki yao lakini kitu kikubwa wanachoweza kunilipa ni kuhakikisha kuwa siku yangu ya mwisho nikifa wasiruhusu kivyovyote mwili wangu kuzikwa au kufukiwa  udongoni bali zawadi kubwa  na iliyobora wanapaswa kunipa ni kuhakikisha mwili wangu unateketezwa kwa moto na kubaki majivu ambayo ndio watayazika ardhini na kubaki alama pale nilipolala mimi usingizi mizto usiokuwa na ndoto…maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua..usiofu tufanane.

Hi sio mara yake ya kwanza msanii huyo kusema hivyo na sasa ameonekana kutilia mkazo huku akisema kuwa kwa upande wake yeye hana dini.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.