Afr_connect Yawakutanisha Vyonne Chakachaka na Mrs. Alikiba.(+picha)
Mke wa msanii Alikiba Bi .Amina amefanikiwa kukutana na msanii mkubwa kutoka afrika ya kusini vyonne chakachaka katika kongamano la Afr_Connect .kongamano ilo ambalo ambalo lima lengo la kuzungumzia maswala ya wanawake ambapo katia kongamamno ilo alikiba alipata bahati ya kuimba kwa mara ya kwanza wimbo wake aliomshirikisha Vyonne Chakachaka unaomzungumzia mwanamke wa kiafrika unaojulikana kama Akili ya mama.
Alikiba na mke wake akiwa na waziri Ummy Mwalimu.
Alikiba akiwa na mama vyonne chakachaka wakiimba wimbo wao mpya.
Alikiba akiwa na vyonne pamoja na mkewe.
wadau na watu mbalimbali wakiwa katika kongamano la Afr_Connect.