Ali Kiba ajiunga na gavana wa Mombasa kumfanyia kampeni

Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho ni rafiki wa dhati wa Ali Kiba. Mara nyingi staa huyo wa Bongo husafiri kuenda Kenya kumtembelea tu gavana huyo.

Jumapili iliyopita Joho aliwafurahisha wafwasi wake alipomuita Ali Kiba kuwatumbuiza, gavana huyo wa Mombasa alikua akifanya kampeni zake Kisauni. Ali Kiba aliimba wimbo maalum ambayo alimtungia gavana huyo.

download latest music    
Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho akifanya kampeni zake

“Wa Ganjoni sema! Wa Mvita Sema… Joho Tena!” Ali Kiba aliimba huku akiwaomba wanainchi wampigie kura gavana huyo.

Gavaba huyo wa Mombasa amekua akiwaalika wanamuziki kadhaa kutumbuiza wanainchi akifanya kampeni zake jijini Mombasa.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere