Ali Kiba atangazwa rasmi miongoni mwa wamiliki wa kampuni ya Rockstar4000

Rockstar4000 Music Entertainment Co & Rockstar Television ni kampuni inayojulikana dunia nzima kwa kutengeneza vipindi vya wanamuziki kutoka nchi mbalimbali na kuvisambaza katika vituo vya runinga vya kimataifa.

Ali Kiba, Lady Jaydee na Barakah The Prince ndo wasanii kutoka Tanzania ambao wamejiunga na Rockstar4000 Music Entertainment.

download latest music    

Ali Kiba amekua Rockstar4000 Music Entertainment kwa takribani miaka 6; usiku wa jana staa huyo alitangazwa rasmi miongoni mwa wamiliki wa kampuni hio.

Tofauti na kuwa miongoni mwa wamiliki wa Rockstar4000 Music Entertainment Co & Rockstar Television, Ali Kiba pia anakuwa Director of Music and Talents kwa kampuni hio.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere