Ali Kiba Ndiye Msanii Pekee Asiyehitaji Kiki Wala Matusi Kujaza Shoo-Mange Kimambi

Mwanaharakati wa mambo ya siasa mtandaoni Mwanamama Mange Kimambi ameibuka na kumpigia  saluti staa wa Bongo fleva Ali Kiba na kudai kuwa hakuna Kama yeye Bongo nzima.

Mange ameongea hayo Baada ya shoo iliyofanyika Wiki iliyopita mjini Kahama kujaza nyomi la ajabu pamoja na kwamba Ali Kiba hakuipigia promo shoo Ile Kama ilivyokuwa kwa Wasafi Festival na Fiesta.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange Kimambi ameandika maneno haya:

Ujumbe huo umeonekana Kama Dongo kwa mpinzani wa Ali Kiba Diamond Platnumz na tamasha lake la Wasafi Festival ambao walionekana kutoa promo ya nguvu Lakini pia Fiesta ambayo ilikuwa katika majobizano na Wasafi.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.