Alichoandika Mwijaku Kuhusu Anachoweza Kumfanyia Mwanamke Wake.

Mwigizaji mfanyakazi wa Clouds Media mwijaku amefunguka na kusema kuwa kwake mwanamke ni kama malaika na anaweza kumfanyika kila kitu anachotaka kwa kuwa mwanamke wake anastahili kufanyiwa hivyo.

Akiandika katika ukurasa wake wa instagram , Mwijaku anasema hata kama kuna kitu hataki kufanyiwa lakini ana stahili kufanyiwa basi yeye atafanya kwa sababu anastahili na kikubwa zaidi ni kwamba haoni shida kuonekana kuwa mwanaume wa kizamani kwa sababu ya mwanamke anayempenda.

download latest music    

Mimi Ni aina ya Boyfriend ambae siogopi kufanya lolote kwa mwanamke ninaempenda. Anahitaji pedi? Nitamnunulia. Anataka nimsaidie kubeba mkoba? Nitambebea. Anataka nimpake rangi kucha? Nitampaka. Nimfumue nywele? Nitajaribu. :

Hataki zawadi yoyote kutoka kwangu? I don’t care nitampa tu..anahamu ya chocolate? Nitamnunulia…anajihisi maumivu ya mgongo? Nitamfanyia massage ya mgongo!

Anataka kwenda dinner date sehemu nzuri nzuri, she shuldn’t worry…we will go there babe!

Haujisikii poa, umechoka mishe mishe za kazini? Asijali nitampikia chakula kitamu…ni mwanamke wangu, msaidizi wangu…nitafanya kila kitu chochote kile kuhakikisha naliona tabasamu lake. :

Naamini mwanamke bora anahitaji kila kitu.

I do forever staffs! Saved, Smart and Straight!! That’s me…the old fashioned me

 

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.