Alichoandika Rama Dee Kuhusu Diamond

Msanii wa Muziki Rama Dee ameonyesha hisia zake za furaha kwa mafanikio makubwa yanayoendelea katika tasnia ya muziki hasa pale anapoona kuwa kuna wasanii wamekuwa huru kuzungumza kile wanachokiona katika tasnia.

Maneno ya Rama Dee yanakuja baada ya kuona leo msanii Diamond Platinumz akiongea na waandishi wa habari na kuzngumza mengi na kumpongeza Diamond kuwa msanii wa kwanza kuwa huru na kuongea kile anachotaka kuongea katika media.

download latest music    

msanii wa kwanza Tanzania kupata freedom,nasikia furaha kuona msanii anaongea kama msanii na sio mtumwa wa fikra,big up Nasibu , mungu akuongezee maisha.

Diamond akiwa kama msanii anaetambulika afrika na karibia dunia nziam sasa , amekuwa msanii wa kuigwa na kufungua njia za wasanii wengine wengi bongo na kila mmoja amekuwa akifurahia mafanikio hayo wakiamini kuwa ni mafanikio ya wengi.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.