Alichoandika Ummy Mwalimu Baada ya Kuhudhuria Harusi ya Kiba -Square.
wikiend hii ilikuwa ndio kilele cha sherehe ya harusi ya wanafamilia ya akiba ambapo abdul kiba na alikiba walikuwa wakisherekea kufunga ndoa na wake zao ruwayda pamoja na amina.wageni waalikwa walikuwa weng na waliokuwepo wengine walikuwa ni watu weye nyazifa mbalimbali kutoka serikalaini akiwemo ummy mwalimu.
baada ya harusi iliyofanyika april 29, waziri ummy mwalimu aliandika amneno ya shukrani na pongezi nyingi kwa familia hiyo ya kiba hususani kwa wanandoa hao.katika ukurasa wake wa twitter alindika
asanteni sana Alikba na Abduli kiba kwa kunialika kushiriki nanyi katika siku yenu,nawatakia maisha mema ya ndoa yenye kheri na furaha, baraka na maelewano pamoja na wake zenu Amina na Ruwayda.