Alichojibu Hanscana Kuhusu Kupima UKIMWI.

Inawezekana sio rahisi kwa baadhi ya watu kuwa na ujasiri wa kupima na kucheck afya zao mara kwa mara,waru wengi wamekuwa waoga sana kuhusu swala la kupima afya tena kupima UKIMWI.Kumbe hili swala liko tofauti kwa Hanscana moja ya music director  wakubwa bongo anaefanya vizuri na kazi zake kwa wasanii mbalimbali.

Akijibu swali la moja ya mashabiki zake katika ukurasa wake wa instagram baada ya kutoa fursa kwa mashabiki wake kuwa yuko tayari kuulizwa chochote , Hanscana aliulizwa kama alishawahi kupima ukimwi  na kwa haraka zaidi Hanscana alijibu'” jana tu“, akimaanisha kuwa ametoka kupima afya yake siku moja kabla ya kukutana na swali hilo.

download latest music    

                                                                    

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.