Alichokisema Zaiid Kuhusu Darasa

Msanii wa muziki wa bongo fleva Zaiid anaetamba kwa sasa na wimbo wake wa picha amefunguka na kusema kuwa watu wasikae wakimsema vibaya Darasa kwa kitendo cha kukaa kimya  na kumsema kuwa amefulia lakini kitu cha kuzingatia ni kwamba kuna wimbo mmoja ambao msanii yoyote anaweza kufanya vizuri kuliko mwingine.

Darasa alichofanya katika wimbo wa muziki ni muziki mzuri kwaio haikuwa raisi , ku-hiy isiwe sababu ya kumshusha mtu vyeo hata siku moja , kuhit ni matokeo tu , kuna watu hawajui hata kuimba lakini wanaweza kutoa wimbo uka-hit.

ku-hit saa zingine kunaendana na matukio na kiki pia,kunaendana na vitu vingi sana , ukiona wimbo wako umefanya vizuri bila changamoto yoyote ujue kuwa wewe ni msanii mzuri na mkubwa sana.

Ikumbukwe kuwa baada ya Darasa kutoa wimbo wa muziki alitoa wimbo wa hasara roho na kisha kukaa kimya kabisa na hii iliwafanya mashabiki kuuliza sana huku wengie wakisema kuwa amefulia.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.