Alichoongea Billnass Kuhusu Msimamo Wake Kwenye Ndoa.

Msanii wa bongo fleva Billnass amefunguka na kusema kuwa msimamo wake kuhusu ndoa ni kuwa kama wale wanaotoa michang kwa ajili ya kufanikisha harusi wangekuwa wanafatilia sana michango yao na kama harusi inavunjika basi watu hao wanaonjiwa basi isingetokea ndoa kuvunjika hata siku moja lakini kwa sababu ya kuzembea na ndio maana ndoa zinavunjika sana.

Katika ukurasa wake wa twitter, billnass aliandika “NDOA NYINGI ZA SIKU HIZI HAZIDUMU KWA SABABUWATU HAWANA HURUMA NA MICHANGO YETU, INGEKUEPO SHERIA KUWA MAHARUSI WAKIACHANA BIBI HARUSI AOLEWE NA ALIYETOA MCHANGO MKUBWA, NDOA ZINGEDUMU, ..akili za usiku.”

download latest music    

Billnass amekuwa siku zote akiandika baadhi ya mambo ya kijamii kwa njia ya utani lakini mwisho wa siku anakuwa akifikisha ujumbe kwa jamii anayoizunguka.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.