Alichosema Linah Kuhusu Wasanii wa Kike.

Mwanadada Linah Sanga amefunguka na kusema kuwa wasaii wa kike wa bongo hawapendi kusaidiana waa kushikana mikono pale inapotokea mmoja wao yuko chini au anahitaji kupata msaada na hii ndio sababu kubwa ya wao kutoendelea .

Linah aliongea hivyo huku akitoa sababu kubwa kuwa wasanii wa kike wamekuwa waoga wa kuzidiana na kwamba wanaona kama wakisaidiana mmoja wao hatamzidi mwingine hivyo hiyo ni roho ya uchoyo, chuki na wivu zinatawala na ndio maana wana fail.

download latest music    

Linah anasema kuwa wasanii wa kibongo wa kike ni wachache sana katika game waliofanikiwa ambao wameanza muziki kitambo lakini wamekuwa na roho za kutokuwavuta wanaoitaji msaada kwa kuoga kuzidiwa katika tasnia.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.