Alichosema Madee Kuhusu Ongezeko la Nyimbo Mbaya.

Madee ni moankatia ya wasanii waliotoka mbali sana na kupitia mengi katika muziki na kwa sababu hiyo basi anatupa uzoefu wake wa kipindi yeye anaanza muziki na vile ilivyo sasa hivi,.

Madee anasema kuwa hapo awali ilikuwa ngumu sana kutoa nyimbo tu kama sasa hivi kwa sababu walikuwa wanaanda nyimbo hapo zamani walikuwa wakifanya kwa kuangalia nyimbo nzuri na ipi mbaya , kama mbaya basi haitatengenezwa lakini sasa hivi hakuna kitu kama icho.

download latest music    

Madee anasema kuna nyimbo sasa hivi ni mbaya sana na ziko nyingi, hii ni kwa sababu ma-producer wa sasa hivi hawaichunguzi nyimbo kabla ya kuitoa.Lakini pia hii inasababisha kuwepo kwa nyimbo nyingi sana na kufanya baadhi ya hizo kutosikika kabisa.

zamani ulikuwa mpaka utoe ngoma inabisi iw inafanya vizuri kwa sababu ulikuwa ukienda kwa producer anakwambia kabisa kuwa hii ngoma wala sio nzuri,lakini maproducer wa sasa hivi naona wako tofauti sana inabidi ifike sehemu producer amwambie msanii kuwa ngoma hii sio nzuri na wala hasitoe.Kwa namna hiyo naona ndo tutapata ngoma nzuri na ambazo zitakuwa zinasikika  kwa sababu kwa mtindo wa wasanii kutoa ngoma kila siku unafanya ngoma zingine zisisikike kabisa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.