Alichosema Profesa Jay Kuhusu Wasafi Tv

Kufunguliwa kwa kituo cha televisheni cha wasafi tv imekuwa moja ya stori kubwa mjini hasa baada ya kuona kuwa wasanii wengi wanaonekana kupata matumaini kuhusu kuwepo kwa kituo hicho kipya kama kauli mbiu yao inavyosema kuwa  ni televisheni ya’ kwetu sote’

Diamond amepokea pongezi nyingi sana kutoka kwa wasanii na watu mbalimbali na pia moja ya wasanii wakubwa na wakongwe Profesa Jay hakuwepo nyuma kuzungumzia swala hilo pia.

download latest music    

hili ni jambo jema sana ambalo kwa kila mpenda maendeleo na burudani  nchini ni lazima alifurahie,hongersa sana mdogo wangu @diamondpaltinumz  na timu yako nzima ya WCB #YAMETIMIA TUKO PAMOJA SANA.- Aliandika profesa jay katika ukurasa wake wa Twitter.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.