Alichosema Roma Kuhusu Fiesta na Kutokuwepo kwa Ruge,

Msanii wa muziki wa hip hop nchini, Roma Mkatoliki amefunguka na kusema kuwa mara zote amekuwa  akisikia kuhusu matatzio yaayotokea katika matamasha mbaimbali hasa hili la fiesta na kwa uwezo alionao Ruge amekuwa akijitahidi kuya-solve matatizo hayo lakini mwaka huu imeshindikana kwa sababu Ruge hayupo,

Roma anasema ameuwa akim-miss sana ruge kila mar lakini baada ya kufungiwa kwa fiesta abakuta anam-miss zaid kwa sababu angekuwa ana uweoz wa kuoambana angepambana kama anavyofanya wakati wote.

download latest music    

katika ukurasa wake, Roma aliandika “kwa uzoefu wangu wa kile kiwanja cha Leaders m kila mara  hizo zimekuwa za miaka mingi lakini ruge huwa anapambana mpaka tunafanikiwa , huwa ninam-iss siku zote lakini kwa hili nimem-miss zaidi.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.