Alichosema Zabibu Kuhusu Shughuli ya Mumewe Uwanjani

Mwanadada zabibu kiba ambae ni dada wa Alikiba na Abdul Kiba amefunguka na kuzungumzia swala la mume wake anapokuwa uwanjani akisakata kabumbu .Zabibu anasemakuwa amefurahi sana kudhuhudia mume wake akicheza uwanjani na kwa jinsi anavyomuona anaamini kuwa atafanikiwa sana.

Zabibu kiba ameyasema hayo baada ya mechi ya ligi kuu nchini afrika kusini ambapo timu yake ya Boroka Fc ilipokuwa ikimenyana uwanjani na timu ya  Orlando pirates .

download latest music    

Zabibu anasema kuwa alichokiona kwa mume wake ni nidhamu ya hali ya juu kwa mchezaji huyo kitu mabacho kimekuwa  kikileta mafanikio makubwa sana kwa wachezaji wengine na kuwafanya wafike mbali sana katika mpira.

Zabibu pia amefurahi kuwepo Afrika ya Kusini huku akisema kuwa mndhari yake ni tofauti na yale ya tanzania hata viwanja vyake vya mpira viko vizuri  kwa mchezaji kujituma kufanya vizuri katika mechi.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.