Alikib Aliwahi Kunitongoza, Alafu ni Mbahili:-Kidoti Baby
Mwanadada anaejulikana kwa jina la Kidoti baby amefunguka na kutangaza kuwa alshawahi kutongozwa kimapenzi na msanii mkubwa wa bongo fleva nchi Alikiba kipindi ambacho bado alikuwa hajafunga ndoa.
Wadada wengi wamekuwa wakisema mambo mbalimbali kuhusu wasanii huku skedno hizo nyingine zikiwa zinawachafua wasanii hao wakubwa lakini zingine zikiwa za kweli kuhsuu wao.
Hata hivyo mwanadada huyo anaendelea kuhusu kuwa , alipotingozwa na alikiba alikuwa najua nini anafanya kwa sababu yeye alikuwa ni mtu wa kutaka pesa na kusepa lakini walichoshindwana na alikiba ni kwamba Alikiba alikuwa mbahili sana.
“Alikiba alinitongoza alafu bahili,mimi ni malaya na pia ni mdangaji maarufu, yoyote ninayekutana nae tunakubaliana kama anapesa ananilipa ninasepa”