Alikiba aonyesha kukerwa na hatua ya Diamond kuamua kumchimba

Diamond alimchimba Alikiba kwa remix ya wimbo ‘Fresh’ remix. Staa huyo wa Wasafi alitumbia fumbo kumpiga teke Alikiba kwa wimbo huo; alisema kumcompare na Cinderella (Alikiba) haiwezi kuwa fresh.

Alikiba pia alitumia lugha ya mafumbo kumjibu Diamond baada ya hit maker huyo kusikika akimchimba katika remix ya ngoma ‘Fresh’ remix.

download latest music    

“The KING ll always Be a KING. je Umeshakitandika nilale MALKIA wangu wa nguvu ?? #KingKiba,” Alikiba aliandika kwa mtandao wa Twitter.

Skiza ‘Fresh’ remix hapo chini:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere