Alikiba asheherekea siku ya kuzaliwa ya mwana wake na ujumbe huu

Alikiba hivi karibuni alisheherekea miaka 7 tangu mtoto wake wa kwanza kuzaliwa. Msanii huyu wa Bongo aliziweka picha kadhaa akimtakia Kiba junior miaka mingi duniani anapoendelea kukua.

download latest music    

Kama wasanii wenzake Alikiba alimwandika Prince Sameer ujumbe wa kuvutia huku akimtakia mwanae kila laheri kupitia mtandao wake wa Instagram. Kiba aliandika,

“Haya kibaba Miaka 7 sasa @kiba_junior mwenyezi mungu akupe umri mrefu wenye faida kwake na kwako InshALLAH

Tazama picha kutoka sherehe hiyo hapa;

 

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua