Alikiba na Ommy Dimpoz watoa ujumbe wa amani kwa Wakenya

Wakenya walipiga kura jana Agosti 8 kuchagua rais na viongozi wengine kadhaa. Uchaguzi huo umezua utata kwani upinzani umepinga matokeo yanayotolewa na tume ya uchaguzi.

Alikiba na Ommy Dimpoz wametoa ujumbe wa amani wakiwaomba Wakenya kuzingatia amani katika kipindi cha uchaguzi nchini mwao.

download latest music    

Ommy Dimpoz: Nawatakia Ndugu zangu Wakenya Uchaguzi wenye Amani na Upendo M/Mungu Awalinde Mmalize Salama AMEN

Alikiba: Nawatakia kila la kheri na uchaguzi Wa AMANI na SALAMA #AMEEN

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere