Aliyekuwa Mpenzi wa Agnes Masogange Azua Kizaazaa Msibani

Muigizaji wa Bongo movie Rammy  Galis Aliyekuwa Kwenye Mahusiano ya kimapenzi na Marehemu Agnes Masogange amezua timbwili jana baada ya kuzimia msibani.

Jana katika viwanja vya Leaders Club Agnes alikuwa anaagwa na Wasanii Wenzake mbali mbali kabla hajasafirishwa kwenda Mbeya kwa ajili ya maziko.

download latest music    

Rammy alikuwa na Mahusiano ya kimapenzi na Agnes siku za nyuma kidogo na katika hali ya kawaida alifunguka na kueleza ni kwa jinsi gani msiba huo ulivyomgusa hadi kupelekea kuzimia wakati akiaga maiti.

Rammy alizua kizaazaa baada ya kuzimia na lube way kupelekwa kwenye gari lakini mkono alionekana kama bado ameshikilia vitu vyake jambo lilipolekea wengi kudai ulikuwa ni usanii tu.

Msanii mwenzake wa Bongo movie Irene Paul amemtolea povu zito Rammy na kudai alikuwa anatafuta kiki kwa kuigiza kuwa amezimia wakati ni wazi kabisa alikuwa anaigiza.

Hali ya Rammy baada ya Kuzimia

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Irene Paul alimtolea povu hili Rammy:

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.