Ambe Rutty na Mumewe Wafunga Mtaa.

Mwanadada amber rutty amefunga mtaa huku jijini baada ya kutokea mitaa flani na kukutana na mtu ambae wamekuwa wakimtuhumu kila leo kuwa ndio aliuyewaharibia sana katika mitandao ya kijamii baada ya kuvijisha picha na video wakiwa faragha na mume wake.

Ambae Rutty na mume wake walipokutana na mwanaume huyo walikamata na kuanza kumpga huku baadhi ya watu wakiwa wanaangalia bila kutaka kuingilia ugomvi huo.

download latest music    

Ikumbukwe kuwa wawili hao bado wako na kesi mahakamani inayohusu kuvujisha kwa video ambayo iliwafanya kukaa rumande kwa muda mrefu kidogo na hata kesi hiyo kwenda mahakamani  mpaka sasa ambapo mara ya mwisho ilishindwa kusomwa kwa sababu mwanaume wa Amber Rutty alidondoka.

Hata hivyo wawili hao wanaweza kupatwa na kesi nyingine ya kuchukua sheria mkononi.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.