Amber Lulu Aanika Utajiri wake

Mrembo kutoka kiwanda cha Bongo fleva, Amber Lulu ameweka wazi kuwa ana pesa ambayo iko kwenye akaunti yake, pesa ambayo haitokani na mziki bali mishe zake za kimaisha.Amber Lulu anaamua kufunguka baada ya kuona kuwa

Akizungumza na mwandishi wa habari Lulu amesema “kwenye akaunti yangu kuna zaidi ya million 10 ambayo aitokani na mziki watu wajue hivyo”

download latest music    

Itakumbukwa kuwa Amber Lulu alianzia kwenye kuuza sura kwenye video za mastaa hapa bongo yaani (video vixen) na hatimae akaingia kwenye gemu ya mziki na ameshatamba na vibao vyake kama ‘Watakoma’ ‘Jini Kisirani na vingine kibao

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.