Amber Lulu Akana Tetesi Za Kurudiana na Aslay

Video vixen maarufu ambaye pia ni msanii wa Muziki wa Bongo fleva anayetamba na kibao chake cha ‘Jini kisirani’ Amber Lulu amefunguka na kukamatwa kurudiana na msanii mwenzake Aslay.

Miezi michache nyuma Amber Lulu aliyoa siri ambayo haikujulikana kwa watu wengi kuwa yeye na Aslay walishawahi kuwa wapenzi siku za nyuma kabla hajawa maarufu.

download latest music    

Siku za hivi karibuni baada ya Amber kutangaza kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Prezzo na kudai yupo single amesemekana kurudiana na Aslay ambaye pia ameachana na mama watoto wake.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5, Amber amekana kurudiana na Aslay lakini alionekana kugoma kabisa kuiongelea ishu hiyo:

Mimi sina mahusiano yoyote na Aslay”.

Mapema mwaka huu Kwenye Interview moja aliyofanya Amber alidai katika wanaume Wote aliowahi kuwa nao Aslay ndio amewahi kumridhisha zaidi.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.