Amber Lulu Amuonea Huruma Hamisa.

Mwana dada Amber Lulu amefunguka na kusema amekuwa akimuonea huruma sana  Hamisa Mobeto kutokana na jinsi ambavyo amekuwa akiandamwa na watu hasa familia ya ndugu wa Diamond mwanaume ambae amezaa nae mtoto mmoja wa kiume na kuonekana kuwa hapendwi na familia hiyo.

Anachokisema Amber Lulu ni kwamba anaamini kuwa Mungu yupo na Hamisa na ipo siku atamuona na kumpigania sana na kumtoa katika kifungo icho cha mateso anachopitia kwa muda wote sasa.

download latest music    

Mimi ninamuamini sana mobeto na nina jua ni mwanamke anaejiamini sana,kwaio hilo linalomtokea sasa ni changamoto tu za maisha , niseme tu yeye aendelee tu na biashara zake  na kazi zake kwa nguvu zake zote na kulea familia yake,achukulie hiyo kama chngamoto tu na kufanya kazi zake kwa bidii na kama mwanaume anampenda basi atarudi tu.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.