Amber Lulu Anasurika Kifo Baada ya Kupata Ajali Mbaya.
Mwanadada Amber lulu kutoka katika kiwanda cha bongo fleva amenusurika kifo baada ya kupata ajali mbaya akiwa anaenleka katika party ya producer Mesen selekta .
Hata hivyo ambaer anaetamba sana na wimbo wake wa jini kisirani anasema kuwa anamshukuru Mungu kwa sababu mpaka sasa hali yake inaendelea vizuri.
Akiongea na waandishi wa habari Amber lulu anasema ” wiki hii imekuwa ya misukosuko kwangu sana,lakini jana kwenye mida ya saa 7 tulipata ajali tulikuwa tukielekiea kwenye birthday party lakini shukuru mungu tulitoka salama ingawa mimi nilibanwa sana mkono.