Amber Lulu Anasurika Kifo Baada ya Kupata Ajali Mbaya.

Mwanadada Amber lulu kutoka katika kiwanda cha bongo fleva amenusurika kifo baada ya kupata ajali mbaya akiwa anaenleka katika party ya producer Mesen selekta .

Hata hivyo ambaer anaetamba sana na wimbo wake wa jini kisirani anasema kuwa anamshukuru Mungu kwa sababu mpaka sasa hali yake inaendelea vizuri.

download latest music    

Akiongea na waandishi wa habari Amber lulu anasema ” wiki hii imekuwa ya misukosuko kwangu sana,lakini jana kwenye mida ya saa 7 tulipata ajali tulikuwa tukielekiea kwenye birthday party lakini shukuru mungu tulitoka salama ingawa mimi nilibanwa sana mkono.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.