Amber Lulu Aomba Msaada WCB na Kumtupia Dongo Diamond

Video Vixen na Msanii maarufu wa muziki wa Bongo fleva Amber Lulu amezua gumzo kwenye mtandao wa Instagram baada ya kumtupia Dongo staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz.

Siku chache zilizopita Diamond alizua gumzo baada ya kuposti picha akiwa amevaa cheni ya mguuni ‘kikuku’ ambacho kimezoeleka kuonekana kimevaliwa na wanawake.

download latest music    

Amber Lulu aliposti picha ya Diamond akiwa amevaa kikuku na kuomba nafasi ya kusainiwa ndani ya WCB lakini alisindikiza na maneno ya kejeli kuhusu kuvaa kikuku.

Amber alitumia picha hiyo kumuomba Diamond kumpa nafasi ya kuwa Bosi wake na kumuomba ampe mkataba wa kuwa mmoja kati ya wasanii walio chini ya lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB)

https://www.instagram.com/p/BlQ6eHthODV/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1isnpb8nfnavt

Diamond ni CEO wa WCB na katika label hiyo kuna wasanii kadhaa wa kiume lakini kuna msanii mmoja tu wa kike ambaye nidada yake na Diamond, Queen Darleen kwaiyo itakuwa ni vema kupata msanii mwingine wa kike ingawa Diamond

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.