Amber Lulu ataja sababu amazomtamani Diamond Platnumz

Amber Lulu ambaye anatamba sasa kwa kutokea kwenye video za mziki za Bongo ni mrembo ambaye anatisha.

Kwa hivi sasa anafanya vyema kwenye career yake na ingawa bado yeye ni mdogo. Hata hivyo, hivi karibuni alifunguka kumuongelea Diamond Platnumz huku akisema kuwa ni mmoja wa wasanii ambao anatamaniwa na warembo wengi.

download latest music    

Lulu alisema kuwa Diamond Platnumz anaonekana Kama mwanaume kwenye bidii na ikiwa hangekuwa na familia pia yeye angejaribu bahati yake, akiongea na Times FM, Lulu alisema…

 

“Kibongo Bongo sijaona mwanaume zaidi ya Diamond kwanza ana ni inspire na maisha yake yaani anajiweka kazi na kila kitu na sio kwamba na wish ku’date nae tuu bali kufanya nae kazi pia,”

Aliendelea kwa kusema,

“Kama ikitokea kutembea nae is ok….sio mimi peke yangu kila mwanamke anawish kuwa nae…kila mtu mimi naamini wachache sana ambao hawamuhitaji.”

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua