Amber Lulu Atangaza Kuwa Single, Asema Mapenzi Yamemshinda

Mwanadada Amber Lulu amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hana muda wa mapenzi tena na ymeshamchosha kwaio anaona bora achane nayo na kubaki kuwa single kuliko kuenedelea kukaa katika mapenzi kwa sababu sio mapya na hayamuingizii kitu chochote katika maisha yake.

Amber lulu ambae akikuwa katika penzi nzito na mwanamuziki kutoka nchi Kenya, amefunguka  lakini hapo katikati penzi hilo lilionekena kuyumba kutokana na kuwepo kwa mahusiano mapya kati ya msanii huyo na mwanamke mwingine.

download latest music    

Katika ukurasa wake wa instagram, amber lulu aliamua kuandika ‘SINGLE GIRL’ akimaanisha kwa sasa hana mahusiano yoyote  na katika caption yake aliandika kuwa “nimechoka , maisha mengine yaendelee.ya mbwana yamenishinda ngoja nikitulize tu nitafute ela maana sio mapya.”

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.