Amber Lulu: Nisha Alikuwa Anatembea na Young Dee Wakati Niko Naye

Video vixen na msanii wa Bongo fleva Amber Lulu amepasua jipu na kumuanika hadharani msanii mwenzake Nisha na kudai alikuwa anaingilia penzi lake na staa wa Bongo fleva Young Dee kwa kumtongoza.

Amber Lulu aliyewahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Young Dee amekiri kuwa wakati akiwa na Mahusiano na Young Dee alikuwa mtu wa michepuko sana kiasi ya kwamba alishawahi kubamba meseji za  Young Dee na Nisha wakichat kama wapenzi.

download latest music    

Amber Lulu alitoa siri hiyo Kwenye mahojiano aliyofanya na Enews ya EATV ambapo amesema ushahidi kuwa wawili hao walikuwa wakichepuka anao:

Nikiona meseji zao walikuwa wanavhat vizuri tu sema kiroho safi sikumaindi sana kwa sababu hatukuwa official na mimi mwenyewe nilikuwa na mambo yangu pembeni lakini nina ushahidi kuwa Nisha Kapita kwa Young Dee.

Nakusema ukweli Nisha fundi maana ana maneno matamu nini nilisoma mpaka mwenyewe nikakubali”.

Nisha alipoulizwa habari hiyo alikana kusema meseji alizoziona Amber Lulu zilikuwa ni meseji za kikazi tu lakini hajawahi kuwa na Mahusiano ya kimapenzi na Young Dee.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.