Amber Rutty Apata Mtu wa Kumtolea Dhamana.

Mwanadada Amber Rutty ambae alikuwa katikakesi na mpenzi wake baaada ya kukutwa na hatia ya kurekodi na kusambaza video zilizokuwa zikiwaonyesha wakifanya mapenzi kinyume na maumbile amepata mdamini wa kumdhamini baada ya kusota rumande kwa muda mrefu kwa kukosa dhamana.

Amber Rutty ambae ni msanii na pia video vixen alikutwa na kashfa hiyo ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile akiwa na mpezi wake huyo na kisha kujirekodi na  kuvujisha picha hizo wamesota rumande kwa muda mrefu na hatimaye yeye kupata dhamana huku akimwacha mpenzi wake akiwa bado anasota rumande.

download latest music    

Mwanaume huyo ambae mpaka sasa hajajulikana ana mahusiano gani na mwanadada huyo amjitokeza na kumtolea dhamana hivyo kuwa huru kwa dhamana.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.